SIMBA WAKWEA PIPA KUIANGAMIZA KAGERA SUGAR KESHO.

12/25/2014 06:02:00 pm
Kikosi cha simba SC.
Licha ya kuwa na mechi kesho dhidi ya Kagera Sugar, Simba imeamua kula Krismasi Zanzibar.
Sasa vijana hao wa Patrick Phiri watakwea ndege kuja jijini Dar es Salaam kesho kwa ajili ya mechi yao na Kagera Sugar.
Hivyo wachezaji wa Simba, benchi la ufundi na baadhi ya viongozi watatua asubuhi jijini Dar kabla ya kazi hiyo maalum ya kukamatana na Kagera Sugar taifa.

0 comments:

Post a Comment