Latest News

YANGA YAJIPOZA KWA PLATINUM IKISHINDA 5-0.

TIMU ya Yanga SC imefanikiwa kuifunga timu ya Platinum ya Zimbabwe kwa mabao 5-0, katika mchezo wa kwanza uliofanyika Dar es salaam leo...

PRISONS WAAMKA, WAICHAPA STAND 3-0.

PRISONS Mara baada ya kumtimua kocha wao David Mwamwaja, Prisons imeanza kuonyesha cheche baada ya kuipiga Stand United kwa mabao 3-0. ...

BURNLEY YAITULIZA MANCHESTER CITY 1-0 EPL.

TIMU ya Man City imepoteza mchezo baada ya kufungwa 1-0 na Burnley katika moja ya michezo katika EPL, BOYD ndiye aliyepeleka machun...

ARSENAL YACHANJA MBUGA, YAITUNGUA WEST HAM 3-0, YAIKARIBIA MAN.CITY KWA POINT 1.

TIMU ya Arsenal FC imefanikiwa kuifunga West Ham United kwa mabao 3-0, katika mchezo uliofanyika jumamosi tarehe 14/3/2015. Kutokana n...

STADIUM OF LIGHT PAWA PACHUNGU BAADA YA KIPIGO CHA 4-0 KUTOKA KWA ASTON VILLA.

MASHABIKI Sunderland wamecharuka na kutaka kumvaa kocha wao Gus Poyet baada ya timu yao kushindiliwa kwa mabao 4-0 na Aston Villa kat...

AJIBU AZUA BALAA TFF, KUJADILIWA MKUTANO MKUU LEO MOROGORO.

LILE sakata la mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajibu la kuitumikia klabu hiyo kwenye mechi za ligi kuu wiki iliyopita dhidi ya Prisons na...

MIKATABA YA NIYONZIMA, NGASSA YAMALIZIKA YANGA, WAKO HURU.

VIUNGO wa Yanga Mnyarwanda, Haruna Niyonzima na Mrisho Ngassa wamesema, mikataba yao imekwisha na wanawaaga kabisa mashabiki wao. Mri...

OKWII... APELEKA KILIO TENA MTIBWA SUGAR KAMA YANGA SC YAPIGWA 1-0.

GOOOOOOOO Dk 90+3 Okwi anaifungia Simba umbali wa mita 25 baada ya kugeuka na kupiga shuti kali linaloingia kwenye engo la lango. MWA...

SIMBA UKAWA WATANGULIZA UZALENDO WAKUBALI KUISHANGILIAYANGA SC.

KUFUATIA kauli ya Yanga ya kuwataka mashabiki wa klabu tofauti za hapa nchini kujitokeza na kuwapa sapoti kwenye mchezo wao wa kesho Jum...

PLUIJM: AJIANDAA KUWAKABILI PLATINUM YA ZIMBABWE.

YANGA kesho Jumapili inacheza na FC Platinum ya Zimbabwe mechi ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini kocha wa timu hiyo...

KOCHA sYLVESTER MARSH AFARIKI DUNIA.

ALIYEKUWA kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Taifa Stars, Sylvestre Marsh, amefariki dunia asubuhi ya leo. Marsh alikuwa amelazwa katika...

COSTAL UNION YAONJA USHINDI WA 1-0, DHIDI YA MGAMBO JKT.

TIMU ya Coastal Union imefanikiwa kuifunga Mgambo JKT kwa 1-0, katika mchezo wa liku Tanzania bar uliofanyika uwanja wa Mkwakwani jijin...

MVUA YAVUNJA MECHI KATI YA STAND UNITED NA KAGERA SUGAR YAVUNJIKA DAKIKA YA 80'

MCHEZO wa ligi kuu Tanzaia bara uliokuwa unaendelea kati ya Stand United na Kagera Sugar umevunjika katika dakika ya 80' kutokana na ...

AZAM FC YASHINWA KUFUZU RAUNDI YA PILI KWA KIPIGO CHA 3-0, KUTOKA KWA EL-MERREIKH YA SUDAN.

TIMU ya AZAM FC imeshindwa kufanikiwa kufuzu raundi ya pili katika michuano ya klabu bingwa africa baada ya kufungwa mabao 3-0; Hii inat...

SIMBA YAWASHA MOTO YAIFUNGA 5-0 TANZANIA PRISONS, HAJIB APIGA HAT-TRICK.

Baada ya kupoteza mchezo kwa kufungwa goli 1-0 kutoka kwa Stand United ya Shinyanga, Simba imeamka toka usingizini na kuinyeshea mvua ya ...