YANGA YAJIPOZA KWA PLATINUM IKISHINDA 5-0.

3/15/2015 06:22:00 pm

TIMU ya Yanga SC imefanikiwa kuifunga timu ya Platinum ya Zimbabwe kwa mabao 5-0, katika mchezo wa kwanza uliofanyika Dar es salaam leo tarehe 15/3/2015.

Kutokana na matokeo hayo Platinum wanatakiwa kushinda zaidi ya magoli 4-0 ili kufuzu raundi inayofuata,
ambapo mshindi wa hapo atakutana na mshindi kati ya 
Étoile du Sahel TunisiaNAngola Benfica de Luanda
Magoli ya Yanga yamefungwa na Mrisho Ngasa, Amisi Tambwe, Simon Msuva, Salum Telela na Haruna Niyonzima.

0 comments:

Post a Comment