![]() |
| Beno Njovu aliyekuwa katibu Yanga SC. |
Habari za kipolisi kutoka ndani ya Jeshi hilo zimeeleza kwamba juhudi za kumtia nguvuni Njovu anayetuhumiwa kwa ubadhilifu zimekuwa zikiendelea kwa juhudi kubwa.
Lengo ni kumtia nguvuni ili aweze kujibu mashitaka yanayomkabili kuhusiana na ubadhirifu, vilevile
Mhazini wa Yanga aliishashikiliwa na jeshi hilo kabla ya kuachiwa kwa dhamana katika tuhuma zinazohusiana na jambo hilo.

0 comments:
Post a Comment