![]() |
| Kiiza Hamis |
![]() |
| Pluijm Kocha Yanga. |
Uongozi wa Yanga hivi karibuni ulimfungashia virago Kiiza na nafasi yake ikachukuliwa na Mliberia, Kpah Sheman ambaye ataitumikia klabu hiyo kwa muda wa miaka miwili.
Pluijm alisema kuwa baada ya kupata taarifa za Yanga kumtema Kiiza, alisikitika kwani Kiiza alikuwa mchezaji muhimu katika kikosi hicho.
Pia amesema anaamini katika hawa wachezaji waliopo hivi sasa Yanga, wapo watakaoiziba vilivyo nafasi ya Kiiza lakini nitamkumbuka sana, alisema Pluijm.Baada ya kutemwa Kiiza alirudi kwao Uganda.


0 comments:
Post a Comment