![]() |
| Kikosi cha Real Madrid kikifurahia kutwaa ubingwa wa vilabu bingwa dunia 2014. |
Real Madrid, imefanikiwa kutwaa ubingwa wa vilabu bingwa dunia baada ya kuifunga San Lorenzo timu kutoka Argentina kwa mabao 2-0 katika mchezo wa fainali uliofanyika jumamosi usiku wa tarehe 20/12/2014 huko Morroco.
![]() |
Real Madrid captain, Iker Casillas - akipokea kombe kutoka kwa Prince Prince Moulay Hassan wa Morocco . |
![]() |
| Mfungaji wa goli la pili Gareth Bale akibusu kombe walilo twaa. |
![]() |
| Cristiano Ronaldo akishika kombe la vilabu bingwa dunia baada ya kutwaa usiku wa jumamosi tarehe 20 /12/2014 huko Morroco. |
VIKOSI VYA TIMU ZOTE MBILI:
MATCH STATISTICS:





0 comments:
Post a Comment