![]() |
| Mshambuliaji wa Yanga SC, Mliberia Kpah Sherman akikabiliana na beki wa JKU usiku Uwanja wa Amaan |
JKU ilitawala sehemu ya kiungo katika mchezo wa leo na Yanga SC ilipitisha mashambulizi mengi kupitia kwa mawinga hatari, Simon Msuva na Andrey Coutinho, lakini washambuliaji Amisi Tambwe na Kpah Sherman walishindwa kufunga.
JKU sasa itakutana na Mtibwa Sugar walioitoa Azam FC kwa penalti katika Nusu Fainali Jumamosi, wakati Simba SC itamenyana na Polisi iliyowatoa mabingwa watetezi, KCCA ya Uganda.
Vikosi Vilikuwa hivi:
Yanga SC;
Ally Mustafa ‘Barthez’, Mbuyu Twite, Oscar Joshua/Edward Charles dk81, Kevin Yondan, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Salum Telela, Simon Msuva, Hassan Dilunga, Amisi Tambwe/Mrisho Ngassa dk63, Kpah Sherman na Andrey Coutinho/Haruna Niyonzima dk51.
JKU;
Mohammed Abdulrahman, Pancian Malik, Abdallah Waziri, Khamis ABdallah, Issa Khaidary, Ismail Khamis, Isihaka Othman, Khamis Said, Amour Mohammed Janja, Hilal Rehani/Mbarouk Fakhi dk50 na Mohammed Abdallah/Salum Said dk62.

0 comments:
Post a Comment